Zaburi 37:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Acha uovu, utende mema,+Nawe utaishi milele. Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu* ya mwadilifu itabarikiwa,+Lakini jina la mwovu litaoza.+ Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+
4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+