Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+ Mathayo 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema;
19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+
36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema;