Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtumishi wako ameonywa kupitia hizo;+Anapozishika anapata thawabu kubwa.+ Methali 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yeyote anayepuuza nidhamu huwa maskini na kupata aibu,Lakini anayekubali kurekebishwa* atatukuzwa.+
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+
18 Yeyote anayepuuza nidhamu huwa maskini na kupata aibu,Lakini anayekubali kurekebishwa* atatukuzwa.+