-
2 Samweli 4:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+ 10 mtu fulani aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’+ akifikiri ananiletea habari njema, nilimkamata na kumuua+ kule Siklagi. Hayo ndiyo malipo ya mjumbe aliyopokea kutoka kwangu!
-