Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+
10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+