7 Hekima ndilo jambo muhimu zaidi,+ kwa hiyo jipatie hekima,
Pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+
8 Ithamini sana, nayo itakukweza.+
Itakuheshimu kwa sababu unaikumbatia.+
9 Itakuvika shada lenye kuvutia kichwani;
Itakupamba kwa taji maridadi.”