Methali 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huwahifadhia wanyoofu hekima inayotumika;Yeye ni ngao kwa wanaotembea kwa utimilifu.+ Methali 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea kwa usalama,+Lakini anayepotosha njia zake atajulikana.+