Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba. Methali 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwana mwenye hekima hukubali nidhamu ya baba yake,+Lakini mwenye dhihaka hasikilizi kemeo.*+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.
5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.