Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu hufundisha hekima,*Na ulimi wake huongea kuhusu haki.+ Mathayo 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Jambo ninalowaambia gizani, lisemeni nuruni, na jambo mnalosikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+
27 Jambo ninalowaambia gizani, lisemeni nuruni, na jambo mnalosikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+