-
Matendo 16:23-25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Baada ya kuwapiga sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mlinzi wa jela awalinde.+ 24 Kwa sababu alipewa agizo hilo, akawatupa katika gereza la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.
25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.
-