Yeremia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+ Luka 12:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko ya watu wote,* maofisa wa serikali, na mamlaka, msihangaike kuhusu jinsi mtakavyojitetea au jambo mtakalosema,+ 12 kwa maana saa hiyohiyo roho takatifu itawafundisha mambo mnayopaswa kusema.”+
9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+
11 Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko ya watu wote,* maofisa wa serikali, na mamlaka, msihangaike kuhusu jinsi mtakavyojitetea au jambo mtakalosema,+ 12 kwa maana saa hiyohiyo roho takatifu itawafundisha mambo mnayopaswa kusema.”+