Methali 22:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+Ili uufanye moyo wako uzingatie ujuzi wangu,+18 Kwa maana inapendeza kuyahifadhi ndani yako kabisa,+Ili yote yawe midomoni mwako daima.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema, lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbovu.+
17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+Ili uufanye moyo wako uzingatie ujuzi wangu,+18 Kwa maana inapendeza kuyahifadhi ndani yako kabisa,+Ili yote yawe midomoni mwako daima.+
35 Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema, lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbovu.+