1 Samweli 14:41, 42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kisha Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, jibu kwa Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachaguliwa, nao watu wakawa huru. 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na mwanangu Yonathani.” Kisha Yonathani akachaguliwa. Matendo 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo wakasali wakisema: “Wewe, Ee Yehova,* unayejua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua Matendo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia, naye akahesabiwa* pamoja na wale mitume 11.
41 Kisha Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, jibu kwa Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachaguliwa, nao watu wakawa huru. 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na mwanangu Yonathani.” Kisha Yonathani akachaguliwa.
24 Ndipo wakasali wakisema: “Wewe, Ee Yehova,* unayejua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua