1 Samweli 14:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, utoe Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachukuliwa, nao watu wakaondoka.+ 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:41 Mnara wa Mlinzi,6/1/1986, uku. 31
41 Na Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, utoe Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachukuliwa, nao watu wakaondoka.+