-
Ruthu 1:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Lakini Ruthu akasema: “Usinisihi nikuache, nirudi na kuacha kukufuata; kwa maana mahali utakapoenda nitaenda, na mahali utakapolala usiku hapo ndipo nitakapolala pia. Watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.+ 17 Mahali utakapokufa nitafia hapo, na hapo ndipo nitakapozikwa. Yehova na aniadhibu, tena vikali, ikiwa kitu chochote kitanitenganisha nawe isipokuwa kifo.”
-