-
2 Samweli 15:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Absalomu alikuwa akiamka mapema na kusimama kando ya barabara iliyoelekea kwenye lango la jiji.+ Absalomu alikuwa akimwita na kumuuliza hivi mtu yeyote aliyekuwa na kesi ambayo ilipaswa kuamuliwa na mfalme:+ “Unatoka jiji gani?” naye alijibu: “Mimi mtumishi wako ninatoka katika mojawapo ya makabila ya Waisraeli.” 3 Kisha Absalomu alimwambia: “Madai yako ni ya kweli na ya haki, lakini hakuna yeyote kutoka kwa mfalme wa kusikiliza kesi yako.” 4 Absalomu alimwambia: “Laiti ningewekwa kuwa mwamuzi nchini! Kila mtu aliye na kesi au mashtaka angekuja kwangu, nami ningehakikisha kwamba anatendewa haki.”
-