Zaburi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.+ Methali 6:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+ 15 Kwa hiyo, msiba wake utakuja ghafla;Atavunjwa mara moja naye hataweza kupona.+
26 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.+
14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+ 15 Kwa hiyo, msiba wake utakuja ghafla;Atavunjwa mara moja naye hataweza kupona.+