Methali 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtu hushiba mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Na kazi ya mikono yake itamthawabisha. Methali 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu atakula mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Lakini tamaa hasa* ya wenye hila ni ukatili.
2 Mtu atakula mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Lakini tamaa hasa* ya wenye hila ni ukatili.