Methali 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtu hushiba mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Na kazi ya mikono yake itamthawabisha. Methali 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya maneno yake;*+Atashiba mazao ya midomo yake.