Methali 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu atakula mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Lakini tamaa hasa* ya wenye hila ni ukatili. Methali 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya maneno yake;*+Atashiba mazao ya midomo yake.
2 Mtu atakula mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+Lakini tamaa hasa* ya wenye hila ni ukatili.