Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 9:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kulikuwa na jiji dogo lenye wanaume wachache; na mfalme mwenye nguvu akaja, akalizingira, na kujenga ukuta mkubwa ili kulishambulia. 15 Mtu fulani maskini lakini mwenye hekima alipatikana katika jiji hilo, naye akaliokoa kwa hekima yake. Lakini hakuna aliyemkumbuka maskini huyo.+

  • Yakobo 2:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana, ikiwa mtu aliyevaa pete za dhahabu kwenye vidole vyake na aliyevaa mavazi ya kifahari anaingia katika mkutano wenu, na mtu maskini aliyevaa mavazi yenye uchafu anaingia pia, 3 je, mnamtazama kwa kibali yule aliyevaa mavazi ya kifahari na kumwambia: “Wewe kalia kiti hiki kilicho mahali pazuri,” na kumwambia yule maskini: “Wewe simama tu,” au, “Kalia kile kiti pale chini ya kiti changu cha miguu”?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki