Mhubiri 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kulikuwa na jiji dogo, na wanaume waliokuwamo walikuwa wachache; mfalme mkuu akaja juu yake, akalizunguka na kujenga ngome+ zilizo kubwa ili kulishambulia.
14 Kulikuwa na jiji dogo, na wanaume waliokuwamo walikuwa wachache; mfalme mkuu akaja juu yake, akalizunguka na kujenga ngome+ zilizo kubwa ili kulishambulia.