38 Basi chini ya hali zilizopo, ninawaambia, msiingilie mambo ya watu hawa, bali waacheni. Kwa maana, ikiwa mpango huu au kazi hii ni ya wanadamu, itaangamizwa; 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu, hamtaweza kuwaangamiza.+ La sivyo, huenda ikawa mnapigana na Mungu mwenyewe.”+