-
Hesabu 23:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+
“Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+
Kutoka katika milima ya mashariki:
‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu.
Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+
8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani?
Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+
-