Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+

      “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+

      Kutoka katika milima ya mashariki:

      ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu.

      Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+

       8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani?

      Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+

  • Methali 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mwanadamu una mipango mingi,

      Lakini shauri* la Yehova ndilo litakalodumu.+

  • Matendo 5:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Basi chini ya hali zilizopo, ninawaambia, msiingilie mambo ya watu hawa, bali waacheni. Kwa maana, ikiwa mpango huu au kazi hii ni ya wanadamu, itaangamizwa; 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu, hamtaweza kuwaangamiza.+ La sivyo, huenda ikawa mnapigana na Mungu mwenyewe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki