Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,*+Lakini kibali chake ni kama umande juu ya majani. Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hasira* ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu huzuia dhambi kubwa.+
4 Hasira* ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu huzuia dhambi kubwa.+