Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi aliyeitwa Ayubu.*+ Alikuwa mtu mnyoofu na mtimilifu;*+ alimwogopa Mungu na kuepuka uovu.+

  • Luka 1:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika siku za Herode,*+ mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani aliyeitwa Zekaria wa kikundi cha Abiya.+ Mke wake aliitwa Elisabeti na alikuwa wa ukoo wa Haruni. 6 Wote wawili walikuwa waadilifu mbele za Mungu na walitembea bila lawama kulingana na amri na sheria zote za Yehova.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki