Zaburi 37:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.