Isaya 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtumainini Yehova milele,+Kwa maana Yah* Yehova ni Mwamba wa milele.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa mtu* anayemtumaini Yehova,Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+