Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yeyote anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu,+

      Lakini anayetembea kwa hekima ataponyoka.+

  • Yeremia 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake.

      Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+

  • 1 Wakorintho 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtu yeyote asijidanganye: Ikiwa yeyote miongoni mwenu anafikiri ana hekima katika mfumo huu wa mambo,* acheni awe mpumbavu ili awe na hekima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki