Methali 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeyote anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu,+Lakini anayetembea kwa hekima ataponyoka.+ Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+ 1 Wakorintho 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu yeyote asijidanganye: Ikiwa yeyote miongoni mwenu anafikiri ana hekima katika mfumo huu wa mambo,* acheni awe mpumbavu ili awe na hekima.
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
18 Mtu yeyote asijidanganye: Ikiwa yeyote miongoni mwenu anafikiri ana hekima katika mfumo huu wa mambo,* acheni awe mpumbavu ili awe na hekima.