Zaburi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Acha hatua zangu zibaki kwenye njia zakoIli miguu yangu isijikwae.+ Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ Methali 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mkabidhi Yehova lolote unalofanya,*+Na mipango yako itafanikiwa. Methali 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hatua za mtu huongozwa na Yehova;+Mwanadamu anawezaje kuelewa njia yake mwenyewe?*