Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+