Zaburi 36:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ 2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyeweHivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+ Methali 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa* machoni pake,+Lakini Yehova huchunguza nia.*+
36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ 2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyeweHivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+