1 Samweli 15:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe Samweli alipomfikia Sauli, Sauli akamwambia: “Yehova na akubariki. Nimetekeleza neno la Yehova.” 14 Lakini Samweli akamwambia: “Basi mbona nasikia milio ya kondoo na ng’ombe?”+ Zaburi 36:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ 2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyeweHivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake,+Lakini Yehova huichunguza mioyo.*+ Yeremia 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Moyo ni wenye hila* kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.*+ Ni nani anayeweza kuujua?
13 Mwishowe Samweli alipomfikia Sauli, Sauli akamwambia: “Yehova na akubariki. Nimetekeleza neno la Yehova.” 14 Lakini Samweli akamwambia: “Basi mbona nasikia milio ya kondoo na ng’ombe?”+
36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ 2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyeweHivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+