Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwishowe Samweli alipomfikia Sauli, Sauli akamwambia: “Yehova na akubariki. Nimetekeleza neno la Yehova.” 14 Lakini Samweli akamwambia: “Basi mbona nasikia milio ya kondoo na ng’ombe?”+

  • Zaburi 36:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;

      Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+

       2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyewe

      Hivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+

  • Methali 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake,+

      Lakini Yehova huichunguza mioyo.*+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Moyo ni wenye hila* kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.*+

      Ni nani anayeweza kuujua?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki