Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Walipokuwa wakiingia, Samweli alimwona Eliabu+ na kusema: “Hakika mtiwa-mafuta wa Yehova amesimama hapa mbele zake.” 7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usitazame sura yake wala urefu wake,+ kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona, kwa maana mwanadamu huona kinachoonekana kwa macho, lakini Yehova huona ndani ya moyo.”+

  • Methali 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

      Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+

      Naam, Yule anayekutazama atajua

      Naye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

  • Yeremia 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+

      Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*

      Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,

      Kulingana na matunda ya matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki