Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 basi usikie kutoka mbinguni, makao yako,+ nawe usamehe+ na kuchukua hatua; na umthawabishe kila mmoja kulingana na njia zake zote,+ kwa sababu unajua moyo wake (ni wewe peke yako unayejua vizuri moyo wa kila mwanadamu),+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue Mungu wa baba yako na kumtumikia kwa moyo kamili*+ na kwa nafsi* yenye shangwe;* kwa maana Yehova huichunguza kabisa mioyo yote,+ naye hutambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, atakuruhusu umpate,+ lakini ukimwacha, atakukataa milele.+

  • Zaburi 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tafadhali, yakomeshe matendo maovu ya waovu.

      Lakini umwimarishe mwadilifu,+

      Kwa kuwa wewe ni Mungu mwadilifu+ anayechunguza mioyo+ na hisia zilizo ndani kabisa.*+

  • Methali 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

      Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+

      Naam, Yule anayekutazama atajua

      Naye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

  • Yeremia 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+

      Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*

      Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,

      Kulingana na matunda ya matendo yake.+

  • Matendo 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo wakasali wakisema: “Wewe, Ee Yehova,* unayejua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki