Mathayo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa;+ endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa;+ Waebrania 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+ Yakobo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.
7 “Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa;+ endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa;+
6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+
8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.