Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo Mungu alipoyaangamiza majiji ya wilaya hiyo, Mungu alimkumbuka Abrahamu kwa kumtoa Loti katika majiji aliyoyaangamiza, ambamo Loti alikuwa akiishi.+

  • Zaburi 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+

      Utapaangalia mahali walipokuwa,

      Nao hawatakuwepo.+

  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini waovu wataangamia;+

      Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;

      Watatoweka kama moshi.

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika Mungu hakujizuia kuwaadhibu malaika waliofanya dhambi,+ bali aliwatupa ndani ya Tartaro,*+ akiwaweka kwenye minyororo* ya giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu.+

  • 2 Petro 3:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana, wanapuuza kimakusudi jambo hili, kwamba zamani za kale kulikuwa na mbingu na dunia iliyokuwa imesimama imara kutoka katika maji na katikati ya maji kwa neno la Mungu;+ 6 na kwamba kwa njia hizo ulimwengu wa wakati huo uliangamia kwa gharika ya maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki