5 Kwa maana, wanapuuza kimakusudi jambo hili, kwamba zamani za kale kulikuwa na mbingu na dunia iliyokuwa imesimama imara kutoka katika maji na katikati ya maji kwa neno la Mungu;+ 6 na kwamba kwa njia hizo ulimwengu wa wakati huo uliangamia kwa gharika ya maji.+