Zaburi 141:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Weka mlinzi wa kinywa changu, Ee Yehova,Weka ulinzi kwenye mlango wa midomo yangu.+ Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+ Mhubiri 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.
19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+
20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.