Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaulinda uhai wake,*+Lakini anayefungua wazi midomo yake ataangamia.+ Methali 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wakeAnajiepusha na taabu.+ Yakobo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa mtu yeyote anafikiri yeye ni mwabudu wa Mungu* lakini haudhibiti* kabisa ulimi wake,+ anaudanganya moyo wake, na ibada yake ni ubatili.
26 Ikiwa mtu yeyote anafikiri yeye ni mwabudu wa Mungu* lakini haudhibiti* kabisa ulimi wake,+ anaudanganya moyo wake, na ibada yake ni ubatili.