Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Methali 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kabla ya kuanguka kwa kishindo moyo wa mtu huwa na kiburi,+Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+