Zaburi 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Una sura nzuri kuliko wanadamu wote. Maneno yenye fadhili hutiririka kutoka katika midomo yako.+ Ndiyo sababu Mungu amekubariki milele.+ Methali 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Maneno ya uadilifu huwafurahisha wafalme. Wanampenda mtu anayeongea kwa unyoofu.+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.
2 Una sura nzuri kuliko wanadamu wote. Maneno yenye fadhili hutiririka kutoka katika midomo yako.+ Ndiyo sababu Mungu amekubariki milele.+