Methali 6:1-3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwanangu, ikiwa umemdhamini* jirani yako,+Ikiwa umempa mkono* mtu usiyemjua,+ 2 Ikiwa umenaswa na ahadi yako,Ukakamatwa na maneno ya kinywa chako,+ 3 Mwanangu, fanya hivi ili ujiokoe,Kwa maana umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ujinyenyekeze mwenyewe na kumsihi haraka jirani yako.+
6 Mwanangu, ikiwa umemdhamini* jirani yako,+Ikiwa umempa mkono* mtu usiyemjua,+ 2 Ikiwa umenaswa na ahadi yako,Ukakamatwa na maneno ya kinywa chako,+ 3 Mwanangu, fanya hivi ili ujiokoe,Kwa maana umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ujinyenyekeze mwenyewe na kumsihi haraka jirani yako.+