Methali 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+Ili niweze kumjibu yule anayenidhihaki.+ 3 Yohana 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sina shangwe kubwa* kuliko hii: kwamba nisikie watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli.+
11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+Ili niweze kumjibu yule anayenidhihaki.+