Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima humfanya baba yake ashangilie,+Lakini mwana mpumbavu ni huzuni kwa mama yake. Methali 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mwanangu, ikiwa moyo wako utakuwa na hekima,Basi moyo wangu mimi utashangilia.+ 2 Yohana 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto wako wakitembea katika kweli,+ kama tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima humfanya baba yake ashangilie,+Lakini mwana mpumbavu ni huzuni kwa mama yake.
4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto wako wakitembea katika kweli,+ kama tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.