Methali 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Acha mtu mwingine* akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe;Wengine,* wala si midomo yako mwenyewe.+ Yohana 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Mnawezaje kuniamini, huku mkipeana utukufu ninyi wenyewe lakini hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+ Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifanye jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu* mwaone wengine kuwa bora kuliko ninyi,+
44 Mnawezaje kuniamini, huku mkipeana utukufu ninyi wenyewe lakini hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+
3 Msifanye jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu* mwaone wengine kuwa bora kuliko ninyi,+