Methali 25:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Si vizuri kula asali nyingi mno,+Wala si utukufu kujitafutia utukufu wako mwenyewe.+ Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova anasema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+ 2 Wakorintho 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana si yule anayejipendekeza ambaye hukubaliwa,+ bali ni yule ambaye Yehova* humpendekeza.+
23 Yehova anasema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+