Methali 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usigombane na mtu bila sababu+Ikiwa hajakutendea jambo lolote baya.+ Methali 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mfanya fujo* husababisha mgawanyiko,+Na mchongezi huwatenganisha marafiki wa karibu.+ Methali 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuanzisha vita ni kama kufungua lango la mafuriko;*Kabla ugomvi haujalipuka, ondoka.+