Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema huwaachia urithi wajukuu wake,Lakini mali ya mtenda dhambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+
22 Mtu mwema huwaachia urithi wajukuu wake,Lakini mali ya mtenda dhambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+