14 Mtazame yule aliye na mimba ya uovu;
Hutunga mimba ya matatizo na kuzaa uwongo.+
15 Huchimba shimo na kuzidisha kina chake,
Lakini huanguka katika shimo hilohilo alilolichimba.+
16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+
Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake.