Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi wakamtundika Hamani kwenye mti aliokuwa ameutengeneza ili kumtundika Mordekai juu yake, na hasira ya mfalme ikatulia.

  • Zaburi 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mwovu humfuatia kwa kiburi mtu asiye na uwezo,+

      Lakini atanaswa katika njama anazopanga.+

  • Zaburi 35:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana bila sababu wameficha wavu wa kunitega;

      Na bila sababu wamenichimbia shimo.

       8 Msiba na umjie kwa ghafla;

      Wavu aliouficha na umnase;

      Na aanguke ndani yake na kuangamizwa.+

  • Zaburi 57:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wameutayarisha wavu ili kuinasa miguu yangu;+

      Taabu zimenifanya niiname chini.+

      Wamechimba shimo mbele yangu,

      Lakini wao wenyewe wameanguka ndani yake.+ (Sela)

  • Methali 26:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,

      Na yeyote anayebingirisha jiwe—litamrudia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki